Wednesday, March 26, 2014

NHC YAFANYA KWELI KUJENGA MAELFU YA NYUMBA ZIKIWAMO ZA GHALAMA NAFUU NCHINI



             

MRADI WA NYUMBA 15,000
Mkurug enzi wa  Maendeleo ya Biashara wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), David Shambwe (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari  (hawapo pichani , Dar es Salaam jana, ) kuhusu shirika hilo kuanzisha mradi  wa ujenzi wa nyumba 15000 zikiwamo 5000 za ghalama nafuu zitakazojengwa eneo la Mwongozo Kigamboni  na mikoa mingine nchini. Kushoto ni Meneja Mauzo Tuntufye Mwambusi na Ofisa Mahusiano ya Jamii Susan Omary.

No comments:

Post a Comment