Baadhi ya watu wakiwa katika eneo la daraja la Mto Mzinga Mbagala Kongowe wakisubiri kuvuka kwa zamu |
Shimo kubwa likiwa limelikata daraja hiyo na kusababisha mawasiliano kukatika
Baadhi ya wakazi wa pande mbili za Mbagala Kongowe na Rangitatu na wasafiri wengine wanaopitikia Barabara ya Kilwa wakipita kwa ruksa maalumu kwa uangalizi wa askari katika daraja hilo lililokatika upande mmoja.
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kimbangulile, Alhaj Abdul Kessy, akiangalia baadhi ya nyumba zilizobomolewa na mafuriko katika Mtaa wa Mbagala Kimbalnguile.
Baadhi ya nyumba zilizobomolewa na mafuriko katika Mtaa wa Mbagala Kimbangulile |
No comments:
Post a Comment