Sunday, April 20, 2014

MPAMBANO WA WATANI WA JADI YANGA NA SIMBA LIGI KUU YA VODACOM U/TAIFA

Add caption
                                         Wachezaji timu hizo wakisalimiana kabla ya pambano hilo
               Mshambuliaji wa Kimataifa wa Yanga Didier Kavumbagu akiruja kupiga mpira
               Polisi wakikabiliana na mashabiki wa Yanga wakati mapumziko katika mechi hiyo
              Wachezaji wakipooza kiu kwa maji wakati wa mchezo huo wa kufunga msimu
Kipa wa Simba Ivo Mapunda akipata matibabu baada ya kuumia
                    Shabiki wa Yanga akitolewa jukwaani na polisi baada ya kuleta fujo uwanjani
                Shabiki wa Yanga Mwarami Kilongola akipelekwa katika kalandinga baada ya kuleta vurugu
                                                        Kavumbagu akichanja mbuga
                                                          Shabiki  Mwarami Kilongola akiwa mbaloni
Mmoja wa masahabiki akiwa amezirai na kukimbizwa kwa matibabu
                                     Kikosi cha Timu ya Simba kilicheza mechi hiyo na kutoka sare ya 1-1
Yanga wakishangilia goli lilifungwa na  Simon Msuva
                        Kocha wa Simba Zadrajovic 'Loga' akitafakari jambo kabla ya mechi kuanza kwa pambano
                                  Mashabiki wa Simba wakishangilia wakati mechi ikiendelea
                               Kikosi cha Yanga kilichocheza pambano hilo na kutoka sare ya 1-1

No comments:

Post a Comment