Mgambo wa Jiji la Dar es Salaam akimpandisha katika gari mmoja wa wachuuzi wa bidhaa ndogondogo aliyekamaywa
Mgambo wakidhibirti hali katika Mtaa wa Kongo Dar es Salaam
Askari wa Ulinzi Shirikishi wakiikokota pikipiki iliyokutwa imeegeshwa eneo lisiloruhusiwa Shule ya Uhuru Kariakoo
Basi la Kampuni ya Usafiri Dar es Salaam (UDA) likipita kando (kushoto), ili kulipisha basi jingine la kampuni hiyo lililoharibika na kuziba barabara Mnazi Mmoja.
No comments:
Post a Comment