Thursday, April 17, 2014

UZINDUZI WA TAASISI YA NITETEE FOUNDATION JIJINI MWANZA NA PILIKA ZA JIJI LA DAR

               Gari kubwa likiwa limeharibika na  kuziba Barabara ya Kilwa eneo la Mbagala Kizuiani na kusababisha usumbufu kwa magari mengine
              Mkazi wa jiji akikatiza Barabara ya Uhuru na tandiko baada ya kulinunua. Mitaa ya Kariakoo inapitika kirahisi baada ya operesheni inayoendelea
               Wafanyabiashara wakishusha bidhaa nje ya Soko Kuu la Kariakoo eneo hilo limeanza kuvamiwa na baadhi ya wachuuzi wakaidi walioondolewa katika operesheni

Mke wa Naibu Waziri wa Uchukuzi, Tizeba (kulia), ambaye alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa taasisi ya Nitetee Foundation wakifungua kwa pamoja pazia kwa pamoja na Mkurugenzi na Muasisi wa Nitetee Foundation, Flora Lauwo (kushoto), kuashiria uzindizi rasmi wa taasisi hiyo, wakati wa hafla iliyofanyika hivi karibuni katika Ukumbi wa New Mwanza Hotel, mkoani Mwanza.


No comments:

Post a Comment