Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam wakiwa katika banda la Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), wakati wa maonesho hayo
Ofisa Habari wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Focus Mauki (kushoto), akiwaeleza watu waliofika katika banda la bandari kuhusu shughuli za bandari
Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi akiwa katika Banda la Bunge la Tanzania katika maonesho hayo ya Miaka 50 ya Muungano wa Tanzania
Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wakipokea vipeperushi wa bandari. Kushoto ni Ofisa Habari wa mamlaka hiyo Focus Mauki na Ofisa Uendeshaji, Rashid Mkinga
Rais Mstaafu Mwinyi akipita katika mabanda mbalimbali ya maonesho hayo
No comments:
Post a Comment