Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, (katikati)
Mwakilishi wa Taasisi ya Else Kronner Fresenius Stiftung, Prof. Konrad Mebmer (wa
tatu kushoto) Mwenyekiti wa Mfuko wa Magonjwa ya mfumo wa Chakula Munich nchini
Ujerumani, Prof. Meinhard Classen (kulia) na Balozi mdogo wa Ujerumani nchini
Tanzania, Hans Koeppel, kwa pamoja wakikata utepe kuashiria kufungua rasmi
Jengo la Kituo cha Tiba, Uchunguzi na Mafunzo ya Magonjwa na Saratani za
Matumbo na Ini cha Hospitali ya Taifa Muhimbili wakati wa Hafla fupi ya
ufunguzi huo iliyofanyika Hospitalini hapo jijini Dar es Salaam, leo Mei 30,
2014. Picha na OMR
.jpg) |
Makamu wa Rais akisikiliza maelezo kuhusu huduma za kituo hicho |
Baadhi ya madaktari na wauguzi wakimsikiliza Makamu wa Rais (hayupo pichani) wakati wa ufunguzi huo
No comments:
Post a Comment