Friday, May 30, 2014

MAKAMU WA RAIS DKT MOHAMMED GHARIB BILAL AFUNGUA MKUTANO WA BODI YA MASHAURIANO YA MAKANDARASI NCHINI 2014

 Makamu Wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Mkutano wa Mashauriano wa Bodi ya Usajili wa Makandarasi kwa mwaka 2014, uliofanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam leo mchana. Mbali na ufunguzi wa mkutano huo pia Makamu, alishuhudia hafla ya kuapishwa kwa Wakandarasi. Picha na OMR
                                     Makamu wa Rais akihutubia huku baadhi ya viongozi (kulia) wakimsikiliza

No comments:

Post a Comment