Thursday, May 29, 2014

MAKAMU WA RAIS DKT. MOHAMMED BILAL AMFARIJI KATIBU MKUU WIZARA YA FEDHA DKT LIKWELILE KWA KIFO CHA MKEWE


 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini kitabu cha maombolezo ya kifo cha mke wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Uchumi, Dkt. Servacius Likwelile (kulia), wakati alipofika kumfariji Katibu huyo nyumbani kwake Boko Jijini Dar es Salaam, jana jioni. Mazishi yanatarajia kufanyika leo jioni kwenye Makaburi ya Kinondoni. Picha na OMR

Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Sherukindo, akionesha kwa waandishi wa habari (hawapo , Dar es Salaam jana, baadhi ya vikombe ilivyoshinda bia hiyo katika maonesho mbalimbali ya ubora wa bia Kimataifa. Bia hiyo itaskabidhiwa tuzo nyingine biliyoshinda katika maonesho ya vinywaji bora nchini Ufaransa.

No comments:

Post a Comment