Wakazi wa jiji waombolezaji wakiwa kati mstari wa kutoa heshima za mwisho kwa marehemu |
Mke wa marehemu Suzy Jacob akiushika mwili wa mumewe wakati wa kuaga viwanja vya leaders Dar es Salaam
Jeneza la mwili wa marehemu likishushwa katika kaburi
Mchungaji (kushoto) akiendesha sala wakati wa maziko
Mmoja wa watoto wa marehemu akilia kwa uchungu wakati wa kuweka udongo katika kaburi la baba yake
Baadhi ya waombolezaji wakiwa katika huzuni kubwa wakati wa maziko hayo
No comments:
Post a Comment