Saturday, April 19, 2014

IBADA YA IJUMAA KUU KATIKA KANISA KATOLIKI PAROKIA YA ST. ANTONY WA PADUA MBAGALA DAR ES SALAAM

                      Baadhi ya waamini wa kanisa hilo wakifuatilia misa ya Ijumaa Kuu katika kanisa hilo
                              Waamini wa kanisa hilo wakibusu msalaba ikiwa ni sehemu ya kuabubu
                          Mamia ya waamini wakiwa katika foleni ya kubusu msalaba katika kanisa hilo
                          Mtawa wa kanisa hilo akiwa na msalaba kwa ajili ya waamini waliokuwa wakiubusu

No comments:

Post a Comment