Wednesday, May 28, 2014

MATUKIO MBALIMBALI YA MICHEZO NA BURUDANI


Meneja wa Bia ya Ndovu wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Pamela Kikuli akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), Dar es Salaam , kuhusu Tuzo ya juu Kimataifa ya ubora katika mashindano ya vinywaji vimiminika yaliyofanyika katika Jiji la Bordeaux nchini Ufaransa. Kulia ni Meneja Masoko wa bia hiyo, Fimbo Butallah
    Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Sherukindo (kulia), akikabidhi kombe la pool litakaloshindaniwa mwaka huu. Wanaopokea ni Katibu Mkuu Amos Kafwinga (katikati) na Mwenyekiti Isaack Togocho
    Wasanii wa Kundi la JKT, wakitumbuiza wakati wa Mkutano Mkuu  wa Kampuni ya Wakala wa Bima ya African Insurance Agency (ATI), Dar es Salaam.
  Wafanyabiashara wa filamu  wakilumbana na  maofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Wakati wa ukaguzi wa stika za uhalali wa biashara hiyo eneo la Kariakoo Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment