Tuesday, March 11, 2014

MATUKIO



Rais Dkt. Jakaya Kikwete  (kushoto) akionesha funguo za magari mapya  11 yaliyotolewa na Shirika la  FZS  la  Ujerumani kusaidia operesheni tokomeza ujangili awamu ya pili. Ikulu leo,  Kulia ni Mkurugenzi wa shirika hiyo Kanda ya Afrika, Robert Muir.

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi ya Jamii NSSF, Dkt. Ramadhani Dau, (kushoto) akisikiliza maelezo ya ofisa wa shirika hilo




No comments:

Post a Comment