Sunday, March 9, 2014

UZINDUZI RASMI NMB NYAMAGANA

Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia (TBL) Kanda ya Kaskazini, Wilderson Kitio (kulia) akizungumza na maofisa wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Ace Africa  wakati wa ziara ya kutembelea miradi iliyofadhiliwa na TBL kupitia asasi hiyo mkoani Arusha hivi karibuni. Na Mpigapicha Wetu
Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Baraka Konisaga akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Tawi la Benki la NMB, mwishoni mwa wiki. (Na Mpigapicha Wetu

No comments:

Post a Comment