Tuesday, March 11, 2014
SAMSUNG TANZANIA NA NMB UWEZESHAJI NA UWEKEZAJI BODABODA
ZAWADI ZA SAMSUNG
Mwakilishi wa Kampuni ya Samsung Tanzania,
Ibrahim Kombo, akimkabidhi zawadi ya jiko
(Macrowave) Dar es Salaam jana, mmoja wa
wateja, Joseph Nswila (kushoto), baada ya
kushinda katika promosheni endelevu kwa
wateja wa kampuni hiyo. (Picha na Charles
Lucas)
UWEZESHAJI BODABODA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu
Uwekezaji na Uwezeshwaji, Dkt. Mary Nagu
(katikati) akipeana mkono na Mkuu wa Mkoa
wa Geita, Saidi Magalula, wakati wa
uzinduzi wa mpango wa uwezeshwaji kwa
madereva wa bodaboda, Jijini Mwanza jana.
Kushoto ni Mkuu wa Huduma za Kifedha wa
NMB. Filbert Mponzi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment