Wachezaji wa Timu ya Hispania wakisalimiana na viongozi wa Jumuiya ya Ulaya na viongozi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Ulaya |
Baadhi ya viongozi wa Ubalozi wa Jumuiya ya Ulaya na TFF wakiwa katika maandalizi ya kukabidhi zawadi kwa timu mbalimbali ikiwa ni sehemu ya maadhimisho hayo |
Rais wa TFF akiinua Kombe kabla ya kumkabidhi Nahodha wa Timu ya Hispania iliyotwaa kombe hilo dhidi ya Timu ya Italy |
Rais wa TTF Jamal Malinzi akizungumza wakati mashindano ya Wiki ya Ulaya (EU WEEK). Kushoto ni Balozi wa EU na Wajumbe wa TFF, Ally Mayay na Wilfred Kidau |
No comments:
Post a Comment