Friday, February 21, 2014

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akikata utepe, Dar es Salaam jana, kuashiria  uzinduzi rasmi wa makubaliano ya Utunzaji na Ulindwaji wa Hifadhi za Urithi wa Tamaduni za Watanzania. Kushoto ni  Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini (EU), Filiberto  Sebregondi .  Picha zaidi maofisa wakitia saini mikataba.

No comments:

Post a Comment