Watawa wa Kikatoliki
wakiwa pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa COLIF Peter Mayenga wakati wa utiaja saini mikataba ya msaada wa Japani
 |
Balozi wa Japani
nchini Masaki Okada, akifurahia na
Mkurugenzi wa Taasisi ya COLIF inayojishulghulisha na miradi ya afya ya jamii
katika wilaya ya Nanyumbu, mkoani Mtwara, Peter Mayenga (kushoto)
,wakati wa kusaini makubaliano , Dar es
Salaam, ambapo Japani itatoa msaada wa ujenzi wa zahanati na vifaa
tiba katika zahati za Chipuputa na Nanjota wilayani humo.
| | |
Balozi wa Japani
akisoma hotuba wakati wa hafla hiyo. Dar es Salaam jana.
Mbunge wa
Nanyumbu akizungumza mara baada ya kusainiwa kwa makubaliano ya msaada.
Balozi wa Vatican
ambaye ni Mawakilishi wa Baba Mtakatifu, Askofu Montecillo Francisco Padilla
(kushoto), akizungumza na Balozi wa Japani, Masaki Okada.
Picha ya pamoja
ya kumbukumbu ya tukio hilo.
No comments:
Post a Comment