Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya Biashara ya DCB Plc , Balozi Paul Rupia, akizungumza
wakati wa mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam, kuhusu
mafanikio ya benki hiyo kuelekea Mkutano Mkuu wa Mwaka utakaofanyika Mei
24. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Edmund Mkwawa. .
|
No comments:
Post a Comment