Saturday, May 31, 2014

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHANI MSIBA WA BABA YAKE ROSTAM AZIZ

Makamu wa Rais Dkt Mohammed  Gharib  Bilal  (wa tatu kushoto), akiwa na viongozi wengine katika msiba wa baba yake Rostam Aziz Mbunge wa zamani wa Igunga Tabora (pili kulia) Kulia ni Jaji Mkuu Othman Chande Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadik Shehe Mkuu wa Tanzania Mufti Issa Shaaban Bin Simba
VIONGOZI MBALIMBALI NA WAOMBOLEZAJI WAKIWA KATIKA MSIBA HUO UPANDA DAR ES SALAAM

No comments:

Post a Comment