Thursday, May 8, 2014
MATUKIO YA KERO MBALIMBALI JIJINI DAR ES SALAAM
Wasamaria wakijaribu kulinasua gari Toyota Landcruser lenye namba SU 36897 lililotumbukia katika mtaro uliofurika maji ya mvua eneo la Gerezani Kariakoo, Dar es Salaam jana. Mitaro mingi katika maeneo mbalimbali haina mifuniko hali inayohatarisha usalama wa watumiaji wa barabara.
Baadhi ya vibarua wa mawakala wa uzoaji takataka wa Manispaa ya Temeke wakiwa katika dampo lisilo rasmi katika uwanja wa michezo Temeke Mwisho. eneo hilo limegeuzwa dampo hali inayotishia usalama wa afya za wakazi wa eneo hilo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment