Ofisa Tarafa
wa Moshi Mjini, William Issa (kushoto) akimkabidhi Nahodha wa timu ya Chuo cha RUCCO cha Iringa,
Said Mohamed kitita cha fedha taslimu Shilingi 2,500,000/= mara baada ya
kuibuka mabingwa katika fainali za kitaifa za “Safari Higher Learning Pool
Competition 2014” zlizomalizika mwishoni mwa wiki mjini Moshi.Kulia ni Betrice
Madafu kutoka chuo hicho na katikati ni Meneja wa bia ya Safari Lager, Oscar
Shelukindo.
|
No comments:
Post a Comment