Friday, June 13, 2014

MATUKIO YA MOTO ULIOTEKETEZA SOKO LA MCHIKICHINI ILALA DAR ES SALAA


Askari akiwa amemshiliria mmoja wa vijana waliotuhumiwa kupora mabaki ya vitu vilivyoungua moto
Mmoja wa wafanyabiashara akiwa ameshika kichwa baada ya kuona uharibifu uliotokana na moto huo
Mfanyabiashara akihamisha mabaki ya bati zilizoungua moto
Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wakiangalia uharibifu kwenye soko hilo
Baadhi ya wafanyabiashara wakijadiliana kuhusu hasara iliyotokana na moto huo

Baadhi ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wanaojishughulisha na uokotaji wa chuma chakavu waking'oa mabomba katika mabanda ya biashara  katika Soko la Mchikichini jana, mara baada ya soko hilo kuungua moto juzi.

No comments:

Post a Comment