Tuesday, June 17, 2014

NMB YAIBANA TIMU YA WABUNGE KATIKA MECHI YA KIRAFIKI / BALIMI NGOMA YASHIKA KASI TABORA NA SHINYANGA WASHINDI WAPEWA VITITA





Golikipa watimu ya NMB akiokoa mkwaju uliokuwa ukielekea langoni mwa goli  la NMB wakati wa mtanange wa kukata na shoka kati ya timu ya wabunge na NMB iliyochezwa mwishoni mwa Wiki mjini Dodoma. NMB waliwafunga timu ya Bunge 4-0.
4711 -Kikosi mahili cha timu ya NMB kilichoichapa timu ya Bunge  4-0 wakicheza na kufurahia ushindi walioupata katika mchezo wa kirafiki  iliyochezwa siku ya jumapili katika uwanja wa jamhuri mjini Dodoma.



Meneja wa  Mauzo wa Kampuni ya Bia nchini(TBL), Robert Kaziwa (kushoto)akimkabidhi  mwakilishi wa wa kikundi cha Magereza Arts Group zawadi ya kitita cha Shilingi 600,000/= mara baada ya kuibuka mabingwa katika fainali za mashindano ya Balimi Kanda ya Ziwa ngazi za mikoa Mkoa Mkoa wa Tabora mwishoni mwa wiki.

Baadhi ya wacheza ngoma wa Magereza Arts Group wakishangilia na kitita cha Shilingi 600,000/=mara baada ya kuibuka mabingwa katika fainali za mashindano ya Balimi Ngoma Mkoa wa Tabora yaliyomalizika mwishoni mwa wiki Mkoani humo.

No comments:

Post a Comment