Saturday, May 17, 2014

MATUKIO YA HARAMBEE YA KUCHANGIA MFUKO WA MUFTI TANZANIA- DODOMA

                         Baadhi ya viongozi wa kiroho wa Kata za Wilata za Chemba,  Kondoa  na Kiteto, mkoani Dodoma wakisikiliza mawaidha wakati wa semina na harambee ya kuchangia mfuko wa Mufti wa Tanzania.
Viongozi wa Kata hizo wakisikiliza mawaidha
Sheikh wa Mkoa wa Dodoma akisisitiza jambo wakati wa semina hiyo iliyofanyika sambamba na harambee ya kuchangia mfuko wa Mufti wa Tanzania, Issa Shaaban Bin Simba (katikati) Kulshoto ni Diwani wa Kata ya Kwadelo Alhaj Omary Kariati, akisaini hundi ya sh. 700,000 kuchangia mfuko huo

Diwani Kariati akionesha hundi ya NMB yenye thamani ya sh. 70,000 kabla ya kuikabidhi
Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Alhaj Omary Kwaang akizungumza wakati wa semina na harambee hiyo ambapo alitoa ahadi ya sh. milioni 1 kuchangia mfuko huo

          Baadhi ya viongozi mbalimbali wakiwa katika sherehe za maulidi katika kata hiyo (wa pili kulia) ni Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Alhaj Omary Kwaang (wa tatu kushoto) ni Sheikhe Mkuu Mufti, Issa Shaaban Bin Simba

No comments:

Post a Comment