Saturday, May 17, 2014

MOTO WATEKETEZA MADUKA MANZESE CHANZO CHA MOTO HAKIJAFAHAMIKA

Umati uliwa katika Barabara ya Morogoro kushuhudia moto huo

Bidhaa mbalimbali yakiwamo matandiko yakiwa barabarani baada ya kuokolewa
                        Wafanyabiashara wakilinda mali zao katikati ya Barabara ya Morogoro
         Baadhi ya wasamaria wakiangalia mabaki ya vitu mbalimbali


Baadhi ya wafanyabiashara wenye maduka Manzese Darajani wakilinda  bidhaa zao walizohifadhi chini ya daraja katikati ya Barabara ya Morogoro baada ya kujiokoa na ajali ya moto iliyoteketeza maduka yao, Dar es Salaam jana, (Picha ya juu) ( mmoja wa waokoaji akiangalia eneo lenye moto. Juu ni mamia wakazi wa eneo hilo wakiangalia tukio hilo.

No comments:

Post a Comment