Monday, May 12, 2014

URAIS SIMBA WAMBURA ATIKISA UCHUKUAJI FOMU AITWA 'Rais'.

Michael Wambura akizungumza na waandishi wa habari na wanachama, mara baada ya kuchukua fomu Makao Makuu ya Klabu hiyo. Kulia ni Msemaji wa klabu hiyo, Asher Muhaji.

Mgombea wa Urais katika Klabu ya Simba Michael Wambura (kulia), akisalimiana na baadhi ya wanachama mara baada ya kuchukua fomu.
         Baadhi ya mashabiki na wanachama wakifurahia mara baada ya Wambura kuchukua fomu ya mgombea wa urais.
Mashabiki wakisukuma gari Marcedes Benz la mgombea huyo, wakati akitoka Makao Makuu ya klabu hiyo, Dar es Salaam .
                       Baadhi ya mabango ya mipasho ya mashabiki kwa wagombea wengine wa nafasi hiyo
Mashabiki wa ttimu hiyo wakiandamana katika Barabara ya Uhuru, Kariakoo wakati wa kumsindikiza mgombea huyo.

No comments:

Post a Comment