Friday, June 6, 2014

MAPOKEZI YA MAMENEJA WA KAMPUNI YA BIA TANZANIA TBL UWANJA WA NDEGE DAR ES SALAAM WAKITOKEA UFARANSA KUCHUA TUZO

Meneja wa Bia ya Ndovu, Pamela Kikuli, (wa pili kushoto), akisindikizwa na warembo uwanja wa ndege
Meneja wa Bia ya Ndovu Pamela Kikuli (katikati), akizungumza na waandishi wa habari kuhusu tuzo hizo mara baada ya kutua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Wa tatu kulia ni mpishi Mkuu wa bia Clvin Nkya
Mpishi Mkuu wa Bia za Kampuni ya Bia Tanzania  (TBL), Calvin Nkya akijibu maswali ya waandishi kuhusu tuzo hizo
Meneja wa Bia ya Safari, Oscar Sherukindo (wa pili kulia), akisindikizwa na warembo mara Baada ya kutua Uwanja wa ndege akitokea nchini Ufaransa kuchukua Tuzo z ya Ubora wa Bia hiyo
Meneja wa Bia ya Safari, Oscar Sherukindo (katikati), akisindikizwa na warembo na mpambe (kulia)  mara Baada ya kutua Uwanja wa ndege akitokea nchini Ufaransa kuchukua Tuzo z ya Ubora wa Bia hiyo

No comments:

Post a Comment